Inasemekana wadada wana tabia tofauti
katika mapenzi kulingana na maumbo ya
miili yao:
1. Wasichana wafupi wanaongoza kwa wivu
wa mapenzi na kuwajali wapenzi wao
2. Wasichana warefu huwa hawawajali
wapenzi wao na hawaogopi mahusiano
kuvunjia hawajui
kubembeleza hata kdogo
3. Wasichana wenye DIMPOZ,MWANYA,M
ATEGE MBINUKO,MAHIPS NA KITEMBE,hawa
huongoza kwa kutokuwa WAAMINIFU katika
mapenzi
4. Wasichana WANENE huongoza kwa
MAPENZI YA KWELI yaani akipenda
amependa kweli
5. Wasichana WEMBAMBA hawa huwa ni
WABISHI sana na hawa wanaongoza kwa
kutendwa!
6. Wasichana wenye NGOZI
NYEUSIwanaongoza kwa KUTOA MIMBA na
kupenda wanaume warefu na weupe
7. Wasichana weupe wakiongoza kwa kuzalia
nyumbani, na hawa weupe weng wao
huolewa wakiwa na watoto tayari huku
wakipenda kuolewa na waarabu kulko
wanaume weusi.
Je kuna kundi jingine unalolijua na tabia
zao?
Saturday, August 9, 2014
Aina za Mabinti Na Tabia Zao Katika Mapenzi Kulingana na Maumbo ya Miili Yao Aina za Mabinti Na T
Posted by Unknown on 9:30 AM with No comments
Categories:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment