Hili ni basi la kampuni ya 5 Aliance ambalo
linafanya safari zake kati ya Mtwara na Dar
es salaam limeungua asubuhi ya August 09
likitokea Mtwara kuelekea Dar es salaam.
Taarifa ya awali inasema kuwa hakuna
abiria aliyepata madhara yoyote juu ya
kuungua kwa basi hili ambalo limeteketea
kijiji cha Mihambwe mkoa wa Lindi.
Saturday, August 9, 2014
Basi la Kampuni ya Five Aliance Laungua na Kuteketea Kwa Moto Likiwa Safarini
Posted by Unknown on 9:35 AM with No comments
Categories:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment