Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Friday, August 8, 2014


Stori: Gladness Mallya
MWANADADA kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’
amepangua madai kuwa ni mjamzito na kudai ni maneno ya ya watu licha ya
kwamba ukikiangalia kwa makini kitumbo chake unaweza kuhisi kuna kitu
ndani.
Akizungumzia madai hayo na kwamba ndicho kinachomfanya asijichanganye
na wenzake kama kawaida, Nisha alisema kutoonekana kwake ni maamuzi tu.
“Eti nina mimba! Mh…nashangaa sana, sijui watu wanatoa wapi hayo
maneno, mimi sina mimba na nilikuwa sionekani kwa sababu nilisafiri, pia
mwezi mtukufu huwa sitoki hovyo, nikiamua kuzaa watu wataniona tu,”
alisema Nisha.

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni