Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Friday, August 8, 2014


STAA wa filamu Bongo, Baby Joseph Madaha amemwagana na aliyekuwa
mwandani wake ambaye pia ni meneja wake, Joe Kairuki pasipokuwa na
sababu za wazi.
Chanzo chetu cha kuaminika kilichoomba hifadhi ya jina lake kimetutonya
kuwa, Madaha na Joe wamebaki kuwa mtu na bosi wake ila msanii huyo sasa
amejiweka kwa mwanaume mwingine.
Katika kujua ukweli wa ishu hiyo, mwandishi wetu alimpigia simu Madaha
ambaye alisema: “Hee unaniuliza kuhusu Joe, mbona umechelewa kujua?
Nimeachana naye, sasa nimejipatia mpenzi wangu mwingine na tunapendana
kupita maelezo.”

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni