AJALI hii imetokea leo mchana eneo la Jogoo, Afrikana jijini Dar es Salaam baada ya trela lenye namba za usajili T590 BST kuligonga gari dogo aina ya Nissan Hard Body lenye namba za usajili T524 ALW na kulitupa mtaroni. Hakuna aliyepoteza maisha katika ajali hiyo.
SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Thursday, August 7, 2014
AJALI ENEO LA AFRIKANA JIJINI DAR
Posted by Unknown on 9:23 AM with No comments
Categories:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment