Kijana aliyegongwa na bodaboda na kuvunjika mguu wa kulia akiwa amelala chini katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara.Bodaboda iliyotelekezwa na dereva wake baada ya kumgonga kijana huyo ikiwa eneo la tukio.
AJALI hii imetokea leo majira ya saa 9:45 mchana katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara baada ya bodaboda kumgonga kijana mmoja ambaye hakujatambulika jina lake mara moja na dereva wa bodaboda kukimbia na kuacha chombo chake .
(PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO USISITE KULITUMA KUPITIA NAMBA YETU HIYO NASI TUTALIRUSHA HEWANI KATIKA TOVUTI HII)
0 comments:
Post a Comment