Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Friday, September 19, 2014

Wakati akiwa L.A kwenye tour ya kuitangaza Album yake mpya inayoitwa X alioiweka sokoni tarehe 16/sept/2014 Chris Brown alionekana akiwa kavaa kidani cha Rihanna,
Issue kubwa ni kuonekana akiwa na hicho kidani kwenye tour yake yote huku akiwa na mpenzi wake mpya Karrueche Tran ambaye ni mtangazaji wa kituo cha tv cha B.E.T. ambaye kwa sasa inasemekana ni mjamzito,
Rafiki wa karibu wa Karrueche aliuambia mtandao wa Takeout “She’s very confused right now, because she loves Chris and Chris wants a baby . . . but Karrueche wants more than just a child — she wants a real commitment,” 

Chris akiwa na gal wake Karrueche huku akiwa kavaa kidani cha Rihanna.


0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni