1. Kukataliwa na aliyekuwa akimtaka
2. Kuondoa mkosi
3. Kujionesha kwa wanawake wenzie
4. Kujaribu maisha ya ndoa
5. Kuwania kitu fulani kwa mume au kazini
kwake
6. Kukwepa maisha ya kwao
7. Kumjaribu mwanaume kama anajua
mambo
8. Kuiga (kama alivyoolewa fulani)
9. Kumkomoa zilipendwa wake na
10. Kutengeneza historia
Ndoa za namna hii huwa hazidumu na
wanawake wa aina hiyo hata mnapogombana
huwa
wanarudi makwao.
Ndoa haijaribiwi-Ndoa ni maisha
Friday, September 19, 2014
BAADHI ya wanawake huolewa kwa sababu zifuatazo
Posted by Unknown on 8:19 PM with No comments
Categories:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment