Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Saturday, August 16, 2014




Shilole alisema mpenzi wake huyo aligundua kwamba aliteswa na wivu na
kusababisha wagombane hivyo alipotambua kosa lake, aliomba msamaha
wakarudiana na mambo yakawa swari.

“Kikubwa ni kwamba ameomba msamaha ndiyo maana na mimi sikuwa na
hiyana, nikapatana naye siku chache tu baada ya kugombana,” alisema
Shilole.Hivi karibuni wawili hao waliripotiwa kuwa wamegombana na kila mtu
kuchukua hamsini zake.

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni