Ulinzi kwa msanii mkubwa ambaye hujichanganya na watu tofauti ni muhimu sana na mara nyingi tumeona walinzi hawa wakingia kwenye matatizo sababu ya kuwalinda wasanii au watu maarufu. Tanzania mpaka sasa tuna wasanii wachache walioweza kumiliki ulinzi huu sababu ya usimamizi na kazi zao za kila siku. Hapa ni Linah wa No Fake Zone Entertainment na Diamond.
Thursday, August 14, 2014
Picha,Bodyguard wa Linah Na Wa Diamond Ndio Hawa
Posted by Unknown on 12:29 PM with No comments
Categories:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment