Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Thursday, August 14, 2014

Picha,Bodyguard wa Linah Na Wa Diamond Ndio Hawa

Ulinzi kwa msanii mkubwa ambaye hujichanganya na watu tofauti ni muhimu sana na mara nyingi tumeona walinzi hawa wakingia kwenye matatizo sababu ya kuwalinda wasanii au watu maarufu. Tanzania mpaka sasa tuna wasanii wachache walioweza kumiliki ulinzi huu sababu ya usimamizi na kazi zao za kila siku. Hapa ni Linah wa No Fake Zone Entertainment na Diamond.
Bodyguard wa Linah Anaitwa Hilary.
Bodyguard wa Linah Anaitwa Hilary.
Diamond Na Bodyguard wake Mwarabu
Diamond Na Bodyguard wake Mwarabu

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni