Taarifa zilizonifikia ni kuwa video ya wimbo wa Bobi Wine unaoponda ushoga Uganda umefutwa Youtube na wasimamizi wa kazi za msanii huyu,Ghetto president Bobi Wine amesema anaogopa watu watatumia maneno yake kumthuru yeye ndio maana akatoa amri kufutwa kwa video ya wimbo “Size Yo” mtandaoni. Bobi ameweka wazi kuwa kazi mpya kutoka kwake itaitwa “Medicine” na itatoka hivi karibuni.
Mwanzo wa July Bobi Wine alinyimwa visa ya Uingereza sababu ya wimbo wake unaopinga na kuponda ushoga.
0 comments:
Post a Comment