Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Sunday, August 17, 2014



Wadau Sijui haka Katabia ni Ugonjwa ama Kawaida, Nimekuwa Mtu wa
Kupiga chabo sana yaani kabla sijaoa nilikuwa nakaa uswahilini sasa kule
mabafu yapo nusu nusu na mengine ni mabafu ya magunia tu, sasa nilikuwa
nakatabia kakupiga chabo wadada ama wamama wakiwa wanaoga , kwa
sasa nimeoa nina mke na mtoto mmoja ila kale katabia ka kupiga chabo bado
kananisumbua mpaka nikuwa namvizia mke wangu akiwa anaoga au akiwa
amekaa kihasara nampiga chabo bila yeye kujua hapo napata raha na moyo
kusuuzika...Nataka niache haka katabia nifanyaje?

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni