Mwanaume mmoja huko nchini Uganda Amekamatwa baada ya Kujifanya ni
Mwanamke ili apate kazi ya House Girl, Zoezi lake hilo lilifanikiwa na kuweza
kupata hiyo kazi lakini siku zilivyozidi kwenda Boss wake ambae ni Mama
Mwenye Nyumba alishtukia mchezo na kugundua ni Mwanaume, Baada ya
kugundulika jamaa alichukua kipigo kutoka kwa Majirani , alipoulizwa kwanini
ameamua kufanya hivyo alijitetea akasema Maisha ni magumu na kupata kazi
kama mwanaume ni ngumu...
0 comments:
Post a Comment