Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Monday, August 25, 2014

MABETO: NAVAA NUSU UTUPU KIDIJITALI

NA MUSA MATEJA
‘Modo’ anayekuja kwa kasi Bongo, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ amefunguka kuwa, haoni hatari kuvaa nguo za kihasara kwani anahisi utandawazi ndiyo unamsukuma kufanya hivyo.
‘Modo’ anayekuja kwa kasi Bongo, Hamisa Hassan ‘Mabeto’
Akizungumzia tabia yake ya kupiga picha za nusu utupu kisha kuzitupia mtandaoni, mrembo huyo ambaye aliwahi kushiriki mashindano ya Miss Tanzania miaka iliyopita alisema: “Navaa hivi kidijitali, si unajua tena. Mimi sioni tatizo.”
Akizungumzia suala la usagaji, Mabeto alisema, baadhi ya wanawake wamekuwa wakimsifia sana na kuonekana kama wanaoelekea kumchomekea mambo hayo machafu lakini akishaona dalili kama hizo huwapotezea.

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni