Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Monday, August 25, 2014

AISHA BUI AHAHA KUONDOA MAKOVU MWILINI

Stori: Imelda Mtema
UREMBO! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Aisha Bui anahaha huku na kule kusaka dawa ya kuondoa makovu yaliyotokea katika baadhi ya maeneo ya mwili wake.Akizungumza na mwandishi wetu, Aisha alisema makovu hayo aliyapata hivi karibuni alipokuwa akicheza sinema iliyomtaka agalegale chini porini.
Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Aisha Bui akipozi.
“Unajua filamu ni kitu ambacho kipo moyoni na nilitaka kuonyesha uhalisia wa ninachokifanya ndiyo maana sikuona shida kucheza huku nikigalagala kwenye nyasi, wakati mwingine siamini nilichokifanya ndani ya filamu hiyo ya Mshale wa Kifo inayotoka Jumatatu ijayo (leo),” alisema Aisha Bui.

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni