Ikiwa ni takribani mwezi mmoja tangu wasanii wa music kipya wa Zanzibar kupata usajiri wa chama chao na kupata katiba yao huku ikiwa imewapa kipaumbele cha kutosha jamaa wameanza harakati za kutosha katika kuachia ngoma,
Leo msanii ambaye aliwahi kuchukua tunzo katika Zanzibar Music Award mwaka 2011 kama sanii bora chipukizi ambaye anajulikana kama Man Tuzzo ameachia cover lasingle yake mpyaaaa inayoitwa "Tawile".
Man Tuzzo amsema ngoma iyo inazungumzia mrembo alietendwa kisha akaenda kwake na ikawa kila kitu ndio tu na itakuwa radio kuanzia j4.
0 comments:
Post a Comment