Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Friday, September 19, 2014

Jamaa mwenyeji wa Tabora aliyevunja rekodi ya kudance na kukubalika jukwaani manusura kuteka uwepo wa watizamaji karibu wote uwanjani hapo katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014-Tabora
Check ukaliwake wa mauno hayo akicheza na mmoja wa ma-dancer wa Shilole katika tamasha la Serengeti Fiesta 2014 Sambaza Upendo, hii ilikuwa ndani ya uwanja wa Al'Hassan Mwinyi Tabora.
Kwa umashuhuri wa kumkomesha dancer mmoja Shilole akaamua kumkomesha kwa kumkabidhi madada wote awakomeshe, hakika jamaa si balaa tuu anajua sanaaaa.... Basi shangweeeeeee kweli kweli kwa waliohudhuria tamasha hilo la Serengeti Fiesta 2014-Tabora
Sheeedaaah...!
Huyu jamaa mashabiki walimkataa viwango vyake vilikuwa vya kawaida katika maufundi ya jukwaani, akashushwa.
Huyu naye alionekana kama Serengeti zilikuwa zinamuongoza nini cha kufanya jukwaani, akashuswa chini.
Mama Shilole akisema na mashabiki huku show ikibamba...

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni