Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Monday, September 22, 2014


Wanasema tumia pesa ikuzoee na hiki ndo alichokifanya mchezaji mpya wa Liverpool Mario Baloteli wakati akiwasili katika uwanja unaotumiwa kwa mazoezi na Timu ya Liverpool. Baloteli aliingia uwanjani hapo akiwa na gari aina Ferrari F12 Berlinetta ambayo inauzwa Pound 240,000 ambazo ni sawa na milioni 652 zakibongo.

Baloteli pia anamiliki gari nyingine aina ya Bentley GT ambayo inauzwa zaidi ya milioni 450 za kibongo. Baloteli ameamia Liverpool akitokea timu ya Ac Milan ambako alikua akichezea.

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni