Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Saturday, August 16, 2014

WIZARA YA AFYA YATOA SEMINA KWA WANAHABARI DAR

Mtaalamu wa ufuatiliaji na udhibiti wa magonjwa ,Dk.Vida Makundi Mmbaga, akijibu maswali ya wanahabari.
Waandishi wakifuatilia kwa umakini.
Msemaji wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Nsachris Mwamanja akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).
Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakipewa semina dhidi ya ugonjwa wa Ebola.
WIZARA ya afya imetoa semina elekezi  kwa wanahabari kuhusiana na ugonjwa wa Ebola. Semina hiyo yenye lengo la kuijuza jamii kuhusiana na ugonjwa wa Ebola,  imefanyika katika Hoteli ya New Africa, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Wizara ya Afya ugonjwa wa Ebola haujaingia nchini, na juhudi zinafanyika za kuhakikisha hauingii kwa kuweka vifaa na huduma katika viwanja vya ndege, mipaka na sehemu zingine zenye kuruhusu muingiliano wa watu wa mataifa mengine.

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni