Katika mwezi huu mpya
=> Utafanikiwa kimaisha,
=> Hutahuzunika mwezi huu
=> Hakuna silaha itakayoelekezwa kwako
ikafanikiwa
=> Mungu atayafanikisha mahitajo yako kwa
kadri uombavyo
=> Kila uendako utapokelewa kwa furaha na
mafanikio
=> Kila walio kukataa na kukuona hufai
watayashangilia mafanikio yako,
=> Hutakufa,
=> Magonjwa hayatakuandama
=> Utaishi kwa furaha,
=> Utakuwa mshindi kwa kila jambo,
=> Kila jambo chungu lililopo mkononi mwako
litageuka kuwa furaha
=> Kila kidole kitanyooshwa kwako na kukuita
"MWENYE BAHATI".
Comment 'amen' na kila kitu kitakuwa sawa
kwako
0 comments:
Post a Comment