SOTE TUNA MAPUNGUFU NA SOTE TUNA MAMBO AMBAYO NDIYO YANAYOTUFANYA TUWE WATU AMBAO TULIVYO SASA. KWA HIYO KAMA ULISHAWAHI KUONGEA NA MIMI UTANIJUA NI MTU WA AINA GANI.
NA KAMA TULISHAWAHI KUKUTANA NA LABDA HATUKUELEWANA KAULI ZETU NAOMBA UNISAMEHE MIMI NIBINADAMU NA NAKOSEA KAMA WATU WENGINE TU. NA NINA MAMBO MENGI YANAENDELEA NIKIWA KAMA BINADAMU NA SIO KUWA NARINGA KWA AJILI YA USTAA AU KITU GANI.
MWISHO WA SIKU SOTE TUNAPITA TU HAPA, JANA ILIKUWA WAO, LEO MIMI, KESHO KUNA WENGINE WANAKUJA. HILO MUNGU NDIO ANAJUA.
NA KAMA HAUJAPATA HIYO NAFASI SIKU MOJA TUTAKUTANA. INSHALLAH


0 comments:
Post a Comment