Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Sunday, August 24, 2014

NILIMPATA HUMUHUMU FB.....Ila majanga





YEYE : " Jamani Baby nimeshafika muda mrefu nipo hapa kituoni nimechoka kweli Darling,juu nimevaa fulana nyeupe na chini nguo ya pinki,jaman I miss you my Baby come please!!!" 

MIMI:"Waooh! Ok nimekuona Sweet heart nakuja,nisubiri hapo hapo,umependeza kweli Mpenzi,I cant wait hugging U!"

Kisha nakata simu na kuparamia daladala linapokwenda sijui, kichwani najiuliza mbona sio yeye, picha aliyoweka Facebook ni tofauti na alivyo, NIMEKOMA...na nyie mnaotafutia Facebook mkome!!!

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni