Mwandishi wa habari, Ephraim Kibonde jana aliachiwa kutoka Kituo
cha Polisi Oysterbay, Dar es Salaam
alikokuwa akishikiliwa tangu mwishoni mwa wiki kwa tuhuma za
kusababisha ajali ya gari na kutoa lugha ya matusi kwa askari wa usalama barabarani Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kinondoni,
Camillius Wambura alithibitisha jana kukamatwa kwa
Kibonde na kwamba walikuwa
wakiendelea kufanya uchunguzi wa tukio hilo.
Hata hivyo taarifa zilizopatikana jana jioni zilidai kuwa Kidonde aliachiwa kwa dhamana wakati uchunguzi ukiendelea.
0 comments:
Post a Comment