Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Saturday, August 16, 2014

KAKAKUONA AONEKANA DAR

Kakakuona akitembea.
Mama Mwita akimshika Kakakuona baada ya kuingia nyumbani kwake.
Mnyama Kakakuona akiwa kawekewa shilingi mia tano kwenye magamba yake.
Msanii wa maigizo Alisante Filiph, akimshika Kakakuona.
Watu wakiingia katika duka la Mama Mwita kumtazama mnyama huyo.
Duka alilotunziwa Kakakuona baada ya kuonekana.
WAKAZI wa Mbezi juu wamefurika kumuona mmyama Kakakuona ambaye ni adimu sana kuonekana, huku wengine wakiamini wamepata bahati katika maisha yao kumuona kiumbe huyo, ana kwa ana baada ya kumsikia na kumsoma katika vitabu.

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni