Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Sunday, August 17, 2014

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjPuWn93FPWDQA3Z-JvbaGCONlvTyqOZJtLyLNv9rVbXN4tMruldaBZ0es_qoLd4KEfvsWeXVtvUvHF4Ob_NYjCcviwAIIWsiYazF2gUxDgQxjTp-RIf1Pwl22xI7uZ-U6ZUzbGQMp0i_BP/s1600/4X7A9552.JPG

IMEVUJA kwamba Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ndiye aliyemshauri Nasibu Abdul ‘Diamond’ asioe kwa sasa ili asishuke kimuziki.
Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’
Ushauri huo umekuwa mwiba kwa mpenzi wa Diamond, Wema Sepetu ambaye amekuwa na ndoto ya kuolewa na staa huyo anayekimbiza kitaani na wimbo wake wa Mdogomdogo.
Wema Sepetu akiwa na mpenzi wake 'Diamond Platinum'.
Akifafanua zaidi kuhusiana na ushauri huo, Nay alisema: “Kuna mifano mingi sana nimeiona kutoka kwa wasanii ambao wameoa, wengi wao wameshasanda sasa mdogo wangu (Diamond) na yeye alipoleta hoja ya kutaka kuoa nikaona sasa anatafuta shimo la kwenda kujifukia, nikamshauri aache.”
CREDIT : GPL 

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni