Miongoni mwa vitu ambavyo vimesemwa na mtoa fomu hizo kuwa msichana huyo kwanza alichelewa kuchukua fomu na kujaza na lingine ambalo limewashangaza hata majaji ni pale alipokuja tayari wenzake wameanza lakini kwa alichokifanya hakuna mtu aliyeamini.
Nakumbuka Fetty ambaye ndiye alikua Jaji mkuu alimuuliza kama aliwahi kuimba sehemu yoyote ambaye inamfanya kujua kupangilia muziki wake kama muziki wa bendi lakini msichana huyo alisema hajawahi ingawa ana single aliwahi kurekodi.
Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa asubuhi ya leo August 07.
0 comments:
Post a Comment