SERIKALI imetaka gazeti la Sani kukanusha habari iliyoandikwa ukurasa wa kwanza kwamba, ugonjwa wa ebola umeingia nchini. Imeagiza hilo lifanyike haraka vinginevyo, hatua kali zitachukuliwa ikiwemo kufungia gazeti hilo.
Soma zaidi;-
http://tinyurl.com/l7urgbq
http://tinyurl.com/l7urgbq
0 comments:
Post a Comment