Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Friday, August 15, 2014

Gazeti laagizwa kukanusha ebola imeingia nchini

SERIKALI imetaka gazeti la Sani kukanusha habari iliyoandikwa ukurasa wa kwanza kwamba, ugonjwa wa ebola umeingia nchini. Imeagiza hilo lifanyike haraka vinginevyo, hatua kali zitachukuliwa ikiwemo kufungia gazeti hilo.

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni