Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Friday, August 29, 2014

1- Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.

8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

9- Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika

10- Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege

11-Kutofua boxer na socks zake hadi wife awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni