Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Sunday, August 17, 2014



Huwa najiuliza na Kucheka nikiona Mijadala ya Watanzania waishio nje ya
nchi jinsi wanavyojigamba na kujiona wa maana kuliko Watanzania waishio
Bongo , Mijadala ya kujionesha kuwa wanazo mingi huwa kwenye blogs na
kwenye mitandao ya kijamiii, William Malecela alishwahi kuwasema hawa
jamaa na kuweka hali halisi ya maisha ya kuishi ulaya wakaja juu sana
kumtukana vibaya kwa kuweka wazi jinsi maisha ya nje yalivyo magumu
Sasa Embu Niambieni nani ambae anaishi nje ambae amafanikiwa kiuchumi
au kijamii kiivyo kiasi cha kuwa mfano mzuri kwa wanaotamani kwenda kuishi
nje ya nchi ?
Tutabanana hapa hapa Bongo

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni