Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Saturday, August 9, 2014




1.Yupo na usafiri wa fuso kwenda dar lakini post yake FB kaandika " On my way to airport, Dar here i come"

2. Yuko kwa mama ntilie anakula lakini kapost " Having my juice at Samaki samaki karibuni friends"

3. Hana kazi wala hajajiajiri ila profile inaonyesha yeye ni Director wa kampuni fulani

4. Demu anapost picha mbaya laini hakuna wa kuponda zaidi ya kusema wow you looks sexy.

5. Mtu anapigia picha nyumbani kwa rafiki zake na kudai i love my house

Ongeza na wewe

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni