1.Yupo na usafiri wa fuso kwenda dar lakini post yake FB kaandika " On my way to airport, Dar here i come"
2. Yuko kwa mama ntilie anakula lakini kapost " Having my juice at Samaki samaki karibuni friends"
3. Hana kazi wala hajajiajiri ila profile inaonyesha yeye ni Director wa kampuni fulani
4. Demu anapost picha mbaya laini hakuna wa kuponda zaidi ya kusema wow you looks sexy.
5. Mtu anapigia picha nyumbani kwa rafiki zake na kudai i love my house
Ongeza na wewe
5. Mtu anapigia picha nyumbani kwa rafiki zake na kudai i love my house
Ongeza na wewe
0 comments:
Post a Comment