Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Saturday, August 16, 2014

Nilipokuwa shule ya msingi kuanzia la 4 hadi
la
7
maksi zangu za hesabu kwenye mitihani
zilikuwa
zinacheza kwenye 03%hadi 08%.Matokeo
yalikuwa yanatangazwa mbele ya darasa!
yanapotangazwa mwalimu anaanza kuwaita
wanafunzi kwakuanziamaksiza chini kwenda
juu
(0-100), kwahiyo darasa lote linajua
makaratasi
yakiletwa lazima niitwe kama si wa kwanza
basi
wa pili.Siku moja mwalimu akaanza kuita
majina,mpaka akafikia kwenye maksi
30%,40%,50%,60%,70% bado tu mi
hajaniita.
Watu wakaanza kuniangalia waliokuwa karibu
wakaanza kuniuliza....""eeeh umepasua
hujaitwa,
ilikwaje??" Nilianza kuvimba kichwa, huku
mwalimu anaendelea kugawa tu makaratasi.
Yakabaki makaratasi ya waliopata 80%-90%
bado mi sijaitwa tu. Mara akabaki na karatasi
moja mkononi, darasa lote macho kwangu
hawaamini kinachotokea maana bado sijapata
karatasi. Mwishoni mwalimu akaangalia
juu,kishaakasema "kuna ng'ombe hajaandika
jina kapata 0% aje achukue karatasi lake

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni