Mange
kimambi ambaye ndiye aliyemuibua Wema Sepetu kwa kumshawishi kushiriki
Miss Dar Indian Occean 2006 na hatimaye Wema Sepetu kushinda Miss
Tanzania 2006 amefunguka kwa kusema kuwa hawezi kumtetea Wema baada ya
Diamond kufunguka kuwa Wema ni mpenda starehe na mashoga wapenda anasa
badala ya kujikita kufaya kazi kujiletea amendeleo.
Mange amesema kuwa anakubaliana na alichokisema Diamond. Mange ambaye yupo karibu na Wema ameandika .
"Mnajua
siku zote mimi huwa nakuwa upande wa Wema kwenye issue zake na DIAMOND,
Ila leo kwa mara ya kwanza nipo upande wa Shemeji.
Wengi
wanalaumu kwanini Diamond aweke hiki kitu hadharani ni kama
anamdhalilisha Wema. Jamani nimesoma alichoandika huyu kaka what I can
say is he really and truely loves Wema ila Wema mwenyewe anaharibu. Yani
you can see kabisa he wants the best for his woman ila woman mwenyewe
doesn't want the best for herself. Alichosema Diamond ni kwamba yeye
kama mwanaume anaweza kumsuport mwanamke wake financially ila kama
mwanamke mwenyewe hajisukumi yeye afanyeje sasa?
0 comments:
Post a Comment