Facebook
Twitter

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "

SOMA HADITHI KALI NA YA KUSISIMUA "SIMU YA AJABU "
Fuatilia kisa hiki kila siku jioni kupitia ukurasa wa Simu ya Ajabu. Nawe waweza kutumiwa kisa hiki cha kusisimua kinachosomwa na wengi kupitia whatsapp namba 0713317171 au kuipiga namba hiyo

Thursday, August 7, 2014

Star Couple inayofuatiliwa kwa sasa ya Nuh Mziwanda na Shilole iliripotiwa kuvunjika hivi karibu imerudi kwa nguvu zaidi na kusambaza picha wakiwa pamoja kama ishara ya mapenzi yao kuongezeka zaidi. Nuh na Shilole wote waliweka picha instagram kuonyesha wamepatana na mapenzi yatadumu zaidi ya miezi kadha iliyotabiriwa.
Siku chache nyuma Nuh aligombana na Shilole mpaka kupelekea kupigana sababu ikiwa ujumbe mfupi wa maneno na missed call kwenye simu ya Shilole zilizokutwa na Nuh Mziwanda.
 Nuh Mziwanda Na Shilole 2Nuh Mziwanda Na Shilole 3Nuh Mziwanda Na Shilole 5Nuh Mziwanda Na Shilole 6Nuh Mziwanda Na ShiloleNuh Mziwanda Na Shilole 1

0 comments:

Post a Comment


  • Copyright 2014 Uvunguni